Follow CHRIS MAUKI:

www.chrismauki.com

Thank you very much for visiting our blog. We have new website for you,we are sure this new website will completely blow your mind! Subscribe by entering your e-mail below to stay updated on our progress.

Launching
comeback
launchpad

Friday 23 May 2014

UHUSIANO WA KULA NYAMA NA TENDO LA NDOA (MEAT FOR SEX PRINCIPLE)



Katika utafiti juu ya tabia za binadamu zinazohusiana na tendo la ndoa “sex” wataalam wa kibaiolojia wamegundua kwamba wanakwake wengi wamejikuta wanakubali kufanya mapenzi na wanaume ambao waliwaletea, waliwalisha au kuwanunulia nyama, wataalam hawa wameiita hii ni “meat for sex principle”. Katika utafiti mwingine unaofanana na huu unaonyesha kwamba wanaume walioonyesha utayari na uwezo wa kuhakikisha wanawake wao wanashiba (wanakula na kunywa watakavyo) wamekuwa wakipewa tendo la ndoa kiurahisi zaidi kuliko wanaume wengine walioonyesha udhaifu kwenye jambo hilo, kwahiyo kiasili kwa wewe mwanamke ukiona jamaa anakukaribisha nyama choma mara kwa mara ujue kabisa mnakoelekea – Chris Mauki

No comments:

Post a Comment

KWA USHAURI ZAIDI

Email : chrismauki57@gmail.com
Mob No:+255713 407182

Total Pageviews

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
+255718-243339 or +255713-407182 / chrissmauki2014@gmail.com
Powered by Blogger.

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

Popular Posts

About Me

Blog Archive