Follow CHRIS MAUKI:

www.chrismauki.com

Thank you very much for visiting our blog. We have new website for you,we are sure this new website will completely blow your mind! Subscribe by entering your e-mail below to stay updated on our progress.

Launching
comeback
launchpad

Monday 16 June 2014

JE UKUBWA AU UDOGO WA MAUMBILE YA KIUME UNAHUSU?



Mtaalam  ubongo Boizendine anasema kuwa uume “penis” wakati wowote huchukua nafasi kubwa sana katika kuwazwa au kufikiriwa  akilini mwa wanaume na wanawake kuliko vitu vingine vingi, lakini inapofika katika suala la tendo la ndoa, ukubwa au udogo wa uume “size of penis” sio suala la muhimu sana tofauti na jinsi wanaume wengi wanavyolichukulia na kulihofia. Tafiti zinaonyesha kwamba wanaume hutumia nguvu nyingi zaidi kuwaza na kuhofu kuhusiana na ukubwa au udogo wa maumbile yao “size of the penis” kuliko wanavyo waza kuhusu kufanya mapenzi. Hata hivyo zaidi ya asilimia 85 ya wanaume wameonyesha kutamani kuwa na uume mkubwa, wakati wapenzi wengi wa wanaume hawa wameonyesha kuridhika na hali ya uume wa wapenzi wao. Wanawake hawa wanasema kuwa wao huhemshwa au kuwa “turned on” kimapenzi na viungo vingine vya mwanaume kama vile macho yao, tabasamu, misuli na namna midomo yao ilivyo na wala sio suala la uume. Hii itawasaidia badhi ya wanaume kubadili mtazamo wao kwamba “size” ya uume ndio kitu cha muhimu zaidi. Watafiti wanasema kipimo cha wastani cha uume wa mwanaume ni kati ya inchi 5.5 hadi 6.2, kwahiyo futilia mbali hofu zako usije kushindwa kufanya kazi nyingine za msingi – Chris Mauki.

No comments:

Post a Comment

KWA USHAURI ZAIDI

Email : chrismauki57@gmail.com
Mob No:+255713 407182

Total Pageviews

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
+255718-243339 or +255713-407182 / chrissmauki2014@gmail.com
Powered by Blogger.

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

Popular Posts

About Me

Blog Archive