Follow CHRIS MAUKI:

www.chrismauki.com

Thank you very much for visiting our blog. We have new website for you,we are sure this new website will completely blow your mind! Subscribe by entering your e-mail below to stay updated on our progress.

Launching
comeback
launchpad

Wednesday 11 June 2014

UTOFAUTI WA KIASILI ULIOPO KATIKA KIU NA UWEZO WA KUFANYA MAPENZI BAINA YA WANAWAKE NA WANAUME



Watafiti waliowahoji wanaume katika jamii na familia tofauti wameonyesha kwamba wanaume kwa kawaida huweza kukutana kimapenzi na wanawake 14 na kuendelea katika kipindi cha maisha yao, wakati wanawake wameonyesha kutamani au kuweza kukutana na mwanaume moja au wawili katika kipindi cha maisha yao. Kuzidi kuongezeka kwa idadi kwa wanaume inasemekana ni kutokana na kiu yao ya kuweza kufurahia ngono ya sikumoja au ya usiku mmoja “one-night stand” tofauti na wanawake ambao wao hutamani zaidi kule kumaanisha katika penzi hilo. Utafiti huu umeangalia zaidi kiu ya kufanya mapenzi ya kiasili na sio kwasababu ya msukumo wa uhitaji au umasikini ambapo wanawake wengi hujikuta wanafanya mapenzi zaidi (hata pale ambapo hawakutamani kufanya au hata wasipolifurahia tendo hilo) ili tu kupata mahitaji yao ya kila siku – Chris Mauki.

No comments:

Post a Comment

KWA USHAURI ZAIDI

Email : chrismauki57@gmail.com
Mob No:+255713 407182

Total Pageviews

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
+255718-243339 or +255713-407182 / chrissmauki2014@gmail.com
Powered by Blogger.

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

Popular Posts

About Me

Blog Archive