Follow CHRIS MAUKI:

www.chrismauki.com

Thank you very much for visiting our blog. We have new website for you,we are sure this new website will completely blow your mind! Subscribe by entering your e-mail below to stay updated on our progress.

Launching
comeback
launchpad

Thursday 3 July 2014

JE UNAUJUA UNDANI WA KISAIKOLOJIA KUHUSU “ORAL SEX”???



Watafiti wa chuo kikuu cha McGill nchini Marekani wamegundua kwamba wapenzi wengi hugombana na kutofautiana kuhusu suala la kunyonyana “oral sex” hii ni kutokana na mmoja kutamani zaidi kufanyiwa wakati mwingine hapendi au hufanyi kama mwenzake anavyotaka. Utafitii huu unaonyesha kwamba “oral sex” husisimua na kuamsha kuliko tendo la ndoa la kawaida “intercourse” na wanaume huhemka zaidi katika “oral sex” kuliko wanawake. Sababu kubwa ya hisia hii ya pekee kwa wanaume ni kwamba “lips”, ulimi na vidole vya mwanamke huamsha na kupanua “urethral” ya mwanaume, na hii humfanya mwanaume ajisikie kuhemka sana tofauti na uume unapokuwa ndani ya uke. Ni kweli kwamba jinsi mwanaume anapoongeza kuhemka sehemu yake ya juu kabisa ya uume “the tip area” hupunguza uwezo wa kuhisi, uume huwa na kitu kama ganzi, wataalam wanasema hii ni njia asilia aliyoifanya Mungu ya kumsaidia mwanaume asiumie hususani wakati uume ukiwa ndani ya uke “during intercourse”. Kwahiyo watafiti hawa wanasema kama mara nyingine mwanaume hafiki kileleni kwa tendo la ndoa la kawaida labda anaweza kufikia kupitia “oral sex”. Nasisitiza kwamba utafiti huu haukuhusisha vitu kama imani au utamaduni wa watu – Chris Mauki.

No comments:

Post a Comment

KWA USHAURI ZAIDI

Email : chrismauki57@gmail.com
Mob No:+255713 407182

Total Pageviews

TANGAZA NASI

TANGAZA NASI
+255718-243339 or +255713-407182 / chrissmauki2014@gmail.com
Powered by Blogger.

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

JITAMBUE KISAIKOLOJIA

Popular Posts

About Me

Blog Archive